Markaz ibn Hajar imeasisiwa kwa lengo la kueneza elimu kupitia mitandao na hasa kwa waislamu ambao hawapati muda wa kukaa darasani, Hata hivyo watu wengi wamekua wakipoteza muda wao kwa kutazama mambo mbalimbali ambayo hayaleti manufaa kwao zaidi ya kuwapotezea muda na kumaliza pesa zao, Hivyo basi tunayo furaha kukufahamisha ndugu muislamu kua lau utatumia fursa yako ya wakati wa jioni nyumbani kwa kutenga baadhi ya masiku na masaa machache basi unaweza kupiga hatua kubwa katika safari...
ZaidiInvidunt lorem justo sanctus clita. Erat lorem labore ea, justo dolor lorem ipsum ut sed eos, ipsum et dolor kasd sit ea justo. Erat justo sed sed diam. Ea et erat ut sed diam sea ipsum est dolor
Jiunge nasi sasa kwa Jarida letu kwa habari za hivi punde na Habari Zaidi kutoka Kwetu!
© 2025 Markaz Ibn Hajar. Haki zote zimehifadhiwa. Imetengenezwa na: abouyaziyd